Timu za Burundi zang’ara katika mashindano ya kanda ya 5 ya mpira wa kikapu
Mchezaji wa timu ya Co-operative ya Kenya, Mark Mayen akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Urunani ya Burundi, Niagunduka Donde katika mchezo wa fainali ya mashindano ya kanda ya tano ya mpira wa kikapu iliyomalizika usiku huu kwenye uwanja wa ndani wa taifa jijini Dar es Salaam
Washindi wa Pili timu ya Co-Coperative Bank ya Kenya
Mashabiki wa timu ya Burundi
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo, Leonard Thadeo (shoto) akimkabidhi kombe la ubingwa wa mashindano ya kanda ya tano ya mchezo nahodha wa timu ya Urunani ya Burundi leo
mashabiki wa timu ya Urunani ya Burundi wakisherehekea ubingwa
Mabingwa wa kanda ya tano wa mpira wa kikapu timu ya Urunani ya Burundi.
Wachezaji wa timu ya Burundi wanawake na wanaume wakiwa katika picha ya pamoja.
Advertisement
No comments yet.
Leave a Reply
-
Recent
-
Links
-
Archives
- October 2011 (2)
- July 2009 (27)
- June 2009 (117)
- May 2009 (40)
- April 2009 (36)
- March 2009 (17)
-
Categories
-
RSS
Entries RSS
Comments RSS






