
Mwanafunzi Milembe Zakaria anayesoma katika shule ya Sekondari ya wasichana ya Rugambwa iliyopo mjini Bukoba,mkoani Kagera akimvika skafu Mama Salma Kikwete muda mfupi baada ya Mama Kikwete kuwasili shuleni hapo ambapo aliongea na wanafunzi hao.

Mwenyekiti wa WAMA Mama Salma Kikwete akiagana na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Rugambwa mjini Bukoba,mkoani Kagera muda mfupi baada ya kuongea na wanafunzi hao shuleni hapo.
Advertisement
2 Comments »
Leave a Reply
-
Recent
-
Links
-
Archives
- October 2011 (2)
- July 2009 (27)
- June 2009 (117)
- May 2009 (40)
- April 2009 (36)
- March 2009 (17)
-
Categories
-
RSS
Entries RSS
Comments RSS
Its sounds soo good and of a development
hi